ABDULKARIM SUMA





SPORTS





Ronaldo asaini mkataba mpya Real Madrid.

ronnie
Klabu ya Real Madrid imethibitisha kuwa winga wa kimataifa toka Ureno Cristiano Ronaldo amekubali kusaini mkataba mpya na klabu hiyo baada ya mazungumzo ya muda mrefu yaliyotishia mustakabali wa muda mrefu wa mchezaji huyo ndani ya klabu ya Real Madrid .
Ronaldo amesaini mkataba wa miaka mitatu utakaomfanya akae Real Madrid hadi mwaka 2018 ambapo atakuwa analipwa mshahara wa paundi milioni 14.7 kwa mwaka .
ron
Mkataba huo unaua rasmi matumaini ya klabu ya Manchester United ya kumrudisha nyumbani mchezaji huyo kama zilivyokuwa zinadai tetesi za vyombo vya habari huko England.
roon
rooon

   

 

Bale aanza maisha mapya Real Madrid kwa Goli.




Winga mpya wa Real Madrid Gareth Bale alianza maisha yake ndani ya klabu hiyo kwa goli katika mchezo wake wa kwanza tangu aliponunuliwa kwa ada ya uhamisho iliyovunja rekodi .
Gareth alifunga moja kati ya mabao mawili ya Madrid wakati timu hiyo ilipotoka sare ya mabao mawili kwa mawili na Villareal .
Bao lingine la Madrid lilifungwa na Cristiano Ronaldo huku Villareal wakifunga kupitia kwa Giovani Dos Santos na Cani .
bale bale bale bale bale
bale bale bale bale
Wapinzani wa Real kwenye mbio za ubingwa wa Hispania Fc Barcelona ambao pia ni mabingwa watetezi walipata ushindi wa tabu katika mchezo wao dhidi ya Fc Sevilla .
Barca walishinda kwa mabao matatu kwa mawili wafungaji wakiwa Dani Alves , Lionel Messi na Alexis Sanchez huku Coke na Ivan Rakitic wakiwafunga mabao ya Sevilla .
Katika mchezo mwingine Atletico Madrid walipata ushindi wao wan ne kwa msimu huu baada ya kuwafunga Almeria kwa mabao manne kwa mawili .
 Ushindi huo unawafanya Atletico Madrid kuwa kileleni mwa ligi ya Hispania kama Barcelona wakiwa na rekodi za kufanana kwenye pointi , mabao ya kufunga na kufungwa.
Story Za Michezo Kwa Hisani Ya Benki Ya NMB.

 

 

Kapombe afuzu majaribio Ufaransa

Posted by GLOBAL on August 7, 2013 at 7:30amComments 
Shomari Kapombe.
Saleh Ally, Strasbourg

BEKI nyota wa Simba, Shomari Kapombe, ameonyesha kweli ana kipaji baada ya kufuzu majaribio ya kucheza soka la kulipwa barani Ulaya.

Kapombe mwenye umri wa miaka 21, amefuzu kucheza soka katika timu mbili za hapa Ufaransa.

Championi ambalo linaendelea kuranda nchini Ufaransa, limepata taarifa hizo za uhakika mjini hapa, lakini wakala wake, Dennis Kadito, ameendelea kutoa ushirikiano wa kutosha kwetu.

“Kweli Kapombe amefanya vizuri sana, amefanya…


Shomari Kapombe.
Saleh Ally, Strasbourg
BEKI nyota wa Simba, Shomari Kapombe, ameonyesha kweli ana kipaji baada ya kufuzu majaribio ya kucheza soka la kulipwa barani Ulaya.
Kapombe mwenye umri wa miaka 21, amefuzu kucheza soka katika timu mbili za hapa Ufaransa.
Championi ambalo linaendelea kuranda nchini Ufaransa, limepata taarifa hizo za uhakika mjini hapa, lakini wakala wake, Dennis Kadito, ameendelea kutoa ushirikiano wa kutosha kwetu.
“Kweli Kapombe amefanya vizuri sana, amefanya majaribio hapa na timu ya As Cannes ambayo ni kubwa kabisa na nyingine (ambayo hakuitaja) lakini baada ya mawakala wa timu ya Nice kumuona nao wamepiga simu na kutaka kumsajili, amefanya vizuri sana labda kama itatokea ishu nyingine lakini kwenye majaribio amekuwa gumzo.
“Kama unavyoona hali ya hewa hapa Ufaransa kwa sasa ni nzuri na hakuna tofauti na Dar es Salaam, hivyo imekuwa bahati kwake.
“Alianza mazoezi Jumanne iliyopita baada ya kutoka Uholanzi na baadaye akahamia nyingine na zote amefuzu. Jamaa walimchezesha beki wa kushoto kwa dakika 15, wakaona uwezo wake, baadaye wakamhamishia namba sita na huko akacheza vizuri zaidi,” alisema Kadito na alipoulizwa kuhusu dau, akasema:
“Hapo kidogo inabidi nizungumze na Simba, unajua tunapata tatizo kutokana na Tanzania kutokuwa na jina katika soka la kimataifa. Hivyo nitazungumza na uongozi wa klabu yake na ninyi mtapata taarifa.”
Pamoja na kuwa mgeni katika soka la Ulaya,  Kapombe alionyesha uwezo mkubwa na kuwashangaza baadhi ya mawakala wengine ambao walialikwa kwa ajili ya kumwangalia huku wengi wakijaa wakati alipofanya majaribio Cannes kwa kuwa ni timu maarufu sana hapa Ufaransa.
Utulivu wake kwenye mpira, pasi za uhakika na ujuzi wa kukaba, zilionyesha kuwavutia mawakala wengi kutoka sehemu mbalimbali waliokuwa wakimuangalia katika majaribio nchini Uholanzi tangu alipotua zaidi ya wiki mbili zilizopita.
Suala la Tanzania kutokuwa maarufu kisoka, huenda ndiyo limekuwa hofu kwao lakini tayari Kapombe amemaliza kazi yake, kilichobaki ni makubaliano tu kati ya klabu itakayomtaka na Simba.
Championi linaendelea kuranda anga hizi huku likifuatilia zaidi kujua kuhusiana na mchezaji huyo kinda Mtanzania ambaye kama atapata nafasi, huenda akawa amewasaidia Watanzania wengine kutoka.





Jul 20 Jul 21 Jul 22 Today Jul 24 Jul 25 Jul 26
Champions League - Qualification July 23
FT Shakhter Karagandy 1 - 0 BATE Borisov
FT FC Daugava 0 - 4 Elfsborg
FT Nomme JK Kalju 2 - 1 Helsinki
FT Sutjeska 0 - 5 FC Sheriff
FT Molde 2 - 0 Sligo Rovers
live 88' EB/Streymur 1 - 3 Din. Tbilisi
live 88' Skenderbeu 0 - 0 FK Neftchi
live 57' Maccabi Tel Aviv 1 - 0 Gyori ETO
live HT Celtic 1 - 0 Cliftonville
live HT Dinamo Zagreb 0 - 0 Fola
live HT FK Vardar Skopje 1 - 1 Steaua Bucuresti
live 43' Zeljeznicar 0 - 2 Viktoria Plzen
live 28' FH Hafnarfjordur 0 - 1 Ekranas
International - Club Friendlies July 23
FT Yokohama F.Marinos 3 - 2 Manchester United
FT Eintracht Frankfurt 3 - 2 Kayserispor
FT RasenBallsport Leipzig 2 - 1 Werder Bremen
FT Volendam 1 - 4 Elazigspor
FT Hertha Berlin 2 - 1 Palermo
FT Hamburger SV 1 - 3 West Ham
FT Altach 1 - 3 Wolfsburg
FT De Graafschap 1 - 1 Sivasspor
FT Den Bosch 1 - 0 Ross County
FT Cambuur 0 - 1 Mallorca
FT Hoffenheim 0 - 0 Athletic Bilbao
FT Twente 0 - 0 Osasuna
live 86' PAOK Thessaloniki FC 5 - 0 Nice
live 57' Accrington 1 - 1 Oldham
live 57' Dumbarton 3 - 0 Falkirk
live 57' Gillingham 0 - 1 Crystal Palace
live 57' Notts Co. 1 - 0 Rayo Vallecano
live 57' Peterhead 3 - 1 Aberdeen
live 57' Port Vale 0 - 1 Leicester
live 57' Rotherham 2 - 2 Middlesbrough
live HT Arbroath 0 - 4 Inverness
live HT Bournemouth 1 - 0 Portsmouth
live HT Burton 0 - 1 Derby
live HT Chesterfield 1 - 1 Wolverhampton Wanderers
live HT Colchester 0 - 2 Ipswich
live HT Dag and Red 0 - 2 Charlton
live HT Luton 1 - 0 Aston Villa
live 43' Braga 0 - 0 Hull
live 43' Hammarby 0 - 0 Paris Saint Germain
live 43' P.Ferreira 1 - 0 Newcastle United
Germany - Regionalliga Bayern July 23
FT FC Memmingen 3 - 1 Augsburg II
Euro U-19 - Final Group A July 23
FT Netherlands U19 1 - 4 Portugal U19
FT Lithuania U19 0 - 2 Spain U19
Euro U-19 - Final Group B July 23
FT Serbia U19 1 - 0 Georgia U19
FT Turkey U19 1 - 2 France U19
Ireland (Rep. of) - EA Sports Cup July 23
live 43' Shamrock Rovers 0 - 0 St. Patrick's Athletic
Russia - 1. Division July 23
FT Luch Energiya 1 - 0 FC Ufa
FT Mordovya 3 - 0 FC Yenisey Krasnoyarsk
FT Arsenal Tula 5 - 1 SKA-Energiya
FT Dinamo St Petersburg 1 - 0 Sibir Novosibirsk
FT FC Salyut Belgorod 0 - 0 Khimik Dzerzhinsk
FT Spartak Nalchik 1 - 1 Alania Vladikavkaz
FT Torpedo Moscow 0 - 2 Gazovik Orenburg
FT FC Rotor Volgograd 2 - 0 Shinnik Yaroslavl
FT Baltika 1 - 0 Angusht Nazran
Russia - 2. Division East July 23
FT FC Chita 1 - 0 Smena Komsomolsk
FT Amur-2010 1 - 1 Sakhalin
FT Sibir Novosibirsk II 0 - 2 Yakutiya Yakutsk
Poland - Remes Puchar July 23
FT Lech Rypin 0 - 2 Zawisza
FT Pelikan Lowicz 1 - 2 Arka Gdynia
FT Siarka Tarnobrzeg 2 - 0 Kolejarz Stroze
FT Gryf Wejherowo 2 - 0 Dolcan Zabki
live 54' Odra Opole 0 - 1 Miedz Legnica
Estonia - Meistriliiga July 23
FT Tammeka 0 - 1 Paide Linnameeskond
Brazil - Serie B July 24
00:00 ASA ? - ? Bragantino
00:00 Icasa ? - ? Joinville
Singapore - Cup July 23
FT Geylang United FC 0 - 2 Home United
Chile - Copa Group 3 July 23
live 13' O'Higgins 0 - 0 Magall




0 comments:

Post a Comment