ABDULKARIM SUMA





Saturday, October 26, 2013

Baada ya kila mkoa kutuma mwakilishi wao kwenye Super Nyota Hawa ndio washindi wa Fiesta Super Nyota 2013

Super nyota 4

Kwenye Super Nyota ya mwaka jana 2012 washindi walikua ni
Ney Lee kutoka 87.8 Mbeya pamoja na Young Killer kutoka 88.1 Mwanza lakini mwaka huu washindi ni hawa Eddy Boy kutoka Mwanza pamoja na K Style na G Lucky wanaotoka Dar es salaam.
SuperNyota ni shindano la kuibua vipaji vya muziki ambalo limekua likiambatana na Tour ya show ya Fiesta.

0 comments:

Post a Comment