ABDULKARIM SUMA





Thursday, October 31, 2013

Diamond awapa "makavu" wanafiki wa Wema Sepetu. Soma hapa alichokiandika


Diamond awapa

    "Mwenyez mungu alituagiza kuzika na ndiomaana leo tuko hapa... na sio kwenda sehem uliyokuwa unaforce wewe ili kesho upate picha za kuzusha instagram...! Upo...? Nakwambia, wewe ulokuwa unaandika upuuzi kwenye Comment..."
    Hayo ni maneno ya Diamond Platnumz kwa wanafiki wa kipenzi chake na rafiki yake Wema Sepetu walihudhuria msiba kwa malengo tofauti na ya kumfariji dada yetu dada aliyepata msiba wa kuondokewa na baba yake mzazi hivi karibuni.

    0 comments:

    Post a Comment