ABDULKARIM SUMA





Wednesday, October 2, 2013

Happy birthday Diamond Platinumz…soma hapa alichoandika Penny kwenda kwa Diamond

diamondMiaka kadhaa iliyopita siku kama ya leo alipewa jina la Naseeb Abdul lakini kutokana na kazi yake ya jukwaani siku hizi tunamjua kwa jina la Diamond Platnums amabe leo ana kila sababu za kusherehekea miaka aliyoishi hadi leo, Happy birthday kwake na soma hapa maneno aliyoandika mpenz wake Diamond.

penny
penny2

0 comments:

Post a Comment