ABDULKARIM SUMA





Sunday, October 27, 2013

Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye show ya Fiesta na taarifa kuhusu show ya saa 9 mchana leo.


DSC_0186
Hizi ni baadhi ya picha za Fiesta 2013 Dar es salaam ambayo kwa bahati mbata hitilafu ya umeme imesababisha historia kwenye show hii ambayo imekua ikifanyika zaidi ya miaka 10.

Kama shabiki naelewa kabisa jinsi inavyoumiza mzuka kukatizwa kwenye sehemu kama hii ambayo ulikuja kumuona msanii unaempenda, hata mimi kama shabiki nimepata maumivu hayohayo ila yamefanyika maamuzi kwamba show ya Wasanii ambao hawajapanda kwenye stage kama Mohombi, Davido na Diamond itafanyika leo saa tisa alasiri palepale Leaders ambapo hakutakua na kiingilio chochote, hii ni kutokana na kuelewa ni kiasi gani watu wa nguvu watakua wamekwazika kwa kilichotokea mtu wangu, karibu.

DSC_0060
DSC_0090
DSC_0096
DSC_0125
DSC_0131
DSC_0158
DSC_0174
DSC_0213
DSC_0216
DSC_0226
DSC_0228
DSC_0245
DSC_0272
DSC_0300
DSC_0329
DSC_0337
DSC_0374
DSC_0375
DSC_0376
DSC_0380
DSC_0381
DSC_0392
DSC_0403
DSC_0407
DSC_0414Picha za hapa chini ni baadhi ya watu wa nguvu waliokua wamesubiri mpaka tatizo likamalizwa saa kadhaa baadae huku wengine wengi wakiwa wameshaondoka, show inarudiwa saa tisa leo palepale Leaders mtu wangu
DSC_0433
DSC_0439
1f
2f

0 comments:

Post a Comment