ABDULKARIM SUMA





Friday, October 18, 2013

(Lyrics + Audio) Chaba ft Jordan - Murder


Ikiwa bado mixtape yake “Nyota njema ya mtaa” inaendelea kufanya vizuri sokoni, Chaba a.k.a Baba mkubwa anayewakilisha 009 (Ngalimited) Arusha city, anawazawadia wapenzi wa muziki wake track mpya na moto kabisa toka Grandmaster Records chini ya utayarishaji wa producer John B akiwa amemshirikisha Jordan aliyetisha na ngoma yake ya mapenzi vita mapema mwaka huu.
Huyu hapa ni Chaba akiizungumzia track yake mpya;- “Mmmmh! Hii track basically, ni zawadi kwa mashabiki zangu kwa kuipokea vizuri na kuinunua mixtape yangu ili pia wasio nazo waendelee kuinunua, na pia bila kusahau kuwa kawa bado Baba mkubwa nawa-murder rappers wote wanaoigiza sanaa”

0 comments:

Post a Comment