Paul akipanda stejini
Mrembo aliyechunukiwa na Peter akiwa jukwaani baada ya kuitwa na kujitokeza
....akinyoosha mkono
...akivishwa saa ya bei mbaya na Peter, ambaye alisema ameoa Nigeria wiki iliyopita na Bongo anaoa pia.....
....sogea nikubusu my 'Beautiful Onyinye....!
....mmmwaaaa!!!
....ni kama anamnong’oneza ‘jamani Peter wewe si unanitafutia balaa na mkeo’....hahahahaha!!!
....this is my beautiful Onyinye oooo!!
".....oooo 'tank' you 'tank' you my Onyinye......!!"
.....Mr. P is getting back to business now, lol!!
.....akiimba kwa hisia kali!
...o!o!o!o!, this guy yooo, is crying oohhh!!!
.......jukwaa lilikuwa lao, walilitawala walivyotaka!
...hapa kazi ni kazi tu!
....warembo wengi walipagwa na mengi, ikiwemo bodi ya Mr. P!!!
Ooooo, mambo ya Diaomond haya sasa!!!
...ilikuwa ni shoo Live ya ukweli!
Peter na Paul Okoye 'wakilivamia' kiukweli jukwaa la Leaders.
......baada ya shoo kali ya masaa matatu, sasa inatosha Dar es salaam..asante sana...’tank yo! tank yo’!!!
WEUSI ON STAGE...
Kundi la Weusi likiongozwa na Joh Makini likishambulia jukwaa la Leaders Club kabla P-Square hawajapanda usiku huu.
PROFESSOR JAY ON STAGE.....
Mwanamuziki Joseph Haule 'Profesa Jay' akiwapagawisha vilivyo mashabiki waliohudhuria shoo ya P-Square Live in Dar ndani ya Viwanja vya Leaders Club vilivyopo Kinondoni jijini Dar.
LADY JAYDEE ON STAGE...
Mwanamuziki Judith Wambura 'Lady Jaydee' au 'Anaconda' akiwapagawisha mashabiki wake waliohudhuria katika Viwanja vya Leaders Club usiku huu katika shoo wa wakali P-Square.
R&B SINGER, BEN POL ON STAGE...
0 comments:
Post a Comment