Jarida
la Rolling Stone limataja album kubwa na bora za mwaka 2013 baada ya
uchunguzi kufanyika kupitia mauzo bora, mapokezi ya album sokoni na
mitaani,
Ilivyozungumziwa na kutajwa zaidi kwenye mitandao na ubora wa muziki wake.
Ilivyozungumziwa na kutajwa zaidi kwenye mitandao na ubora wa muziki wake.
Album
ya Kanye
West "Yeezus" imekuwa namba mbili kwenye orodha hio ya album hizo na
Drake "Nothing Was The Same", Danny Brown "Old" zikifata kwenye top 20
ya Album bora za mwaka 2013.
Album ya Eminem The Marshall Mathers LP2 Imedondokea namba 24 huku album ya Chance The Rapper 'Acid Rap ikiwa namba 26.
Miley Cyrus na Bangerz amechukua namba 27 kwenye orodha bora ya album za mwaka 2013.
Msanii
wa Good Music na album yake ya My Name Is My Name 'Push T' imechukua
namba 33 Huku J Cole na Born Sinner akiwa namba 41. Msanii M.I.A Amebana
kwenye nafasi ya 47 na Matangi
0 comments:
Post a Comment