Cheick Tiote wa Newcastle (kulia) akiwania mpira na Wilshere wa Arsenal.
Olivier Giroud (katikati) akiwatoka Tiote (kushoto) na Mike Williamson wa Newcastle.
Timu ya Arsenal imejihakikishia kumaliza mwaka 2013 ikiwa kileleni mwa Ligi Kuu ya England
baada ya kuifunga Newcastle bao 1-0 kwenye mechi iliyopigwa Uwanja wa
St. James' Park hivi punde. Kwa ushindi wa leo Arsenal imefikisha pointi
42 ambapo hakuna timu nyingine yoyote itakayozifikisha kwa mwaka huu.
Olivier Giroud (katikati) akiwatoka Tiote (kushoto) na Mike Williamson wa Newcastle.
0 comments:
Post a Comment