ABDULKARIM SUMA





Saturday, December 14, 2013

LULU NA YONG D WANASWA WAKI NANIIIII!!!!! USIKU WA MANANE SOMA HABARI YOTE HAA NA MAHOJIANO USIKOSE HII HABARI

HATARI! “ETI” Lulu na Young D wakutwa “waki-nanii amri ya 3+3 ” ndani ya gari ya LULU Usiku mzito wa manane
    Pata habari za bongo movies na nyingine nyingi punde zitokeapo. Tuma neno PERUZI kwenda 15368 sasa. Kwa wateja wa Vodacom Pekee

    Jana kupitia kwenye kipindi cha U-heard cha clouds FM chini ya bwana Sudi Brown ama Gossip Cop kulikuwa na FUNUNU kali iliyokuwa inamuhusu mwanadada wa bongomovies Elizabeth Bin Michael a.k.a LULU na mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya Young D al-maarufu kama Young Dar es salaam kama mwenyewe anavyojiita ya wawili hao kukutwa kwenye gari wakifanya lile tendo linaloruhusiwa kufanywa mara baada ya mdada na mkaka kufunga ndoa.
    Kwa mujibu wa Sudi Brown = Gossip cop, wawili hao walikutwa maeneo ya Mbezi beach ndani ya gari aina ya Hyundai ya mwanadada lulu na polisi wa doria wakivunja amri hiyo iliyokatazwa na vitabu vyote vitakatifu kwa maana ya biblia, Quran na vitabu vingine vya dini ulimwenguni.
    Habri zainasema Baada ya wawili hao kukutwa eneo hilo na polisi walipelekwa pembeni gizani na kuongeana polisi kabla ya wao kutokomea wasipojulikana na gari hilo.
    Alipopigiwa simu mwanadada LULU alipokea na kukata muda mfupi na baadaye Young D alipopigiwa simu alitoa majina ya utata kama alivyoongea mwenyewe kupitia kwenye kipindi cha U-heard cha clouds fm


    0 comments:

    Post a Comment