ABDULKARIM SUMA





Wednesday, January 22, 2014

Baba, mama, mtoto wafa ajalini


Gari aina ya Noah iliyopata ajali kwa kugongana na lori katika eneo la Kijiji cha Isuna, mkoani Singida na kusababisha vifo vya abiria 13, jana. Picha na Gasper Andrew 

Omari Shaban (44), mke wake Salma Omari na mtoto wao Nyamumwi Omari (10) wakazi wa Itigi, Singida, walifariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Noah kugongwa na lori aina ya Scania katika ajali iliyosababisha vifo vya watu 13 mkoani humo.

0 comments:

Post a Comment