ABDULKARIM SUMA





Friday, January 31, 2014

Kuhusu Gari lililoungua moto jioni ya January 31.picha hizi hapa

IMG-20140131-WA0049Tukio la kuungua kwa gari hili limetokea barabara ya Nyerere jioni ya January 31 ambalo inahusisha hiyo
Gari aina ya Coaster ambayo imewaka moto,chanzo cha moto huo bado hakijajulikana,millardayo.com inaendelea kufatilia kwa undani habari hii endelea kuwa karibu na millardayo.com kwa taarifa zaidi.
IMG-20140131-WA0050 


IMG-20140131-WA0043 

IMG-20140131-WA0047 

IMG-20140131-WA0045

0 comments:

Post a Comment