ABDULKARIM SUMA





Sunday, February 9, 2014

UPDATES: MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI

Mpaka sasa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (Chadema) kimeshinda kata tatu tu ambazo ni: Kata ya Sombetini Arusha, Kata ya Njombe Mjini, Kata ya Kiborloni Mkoani Kilimanjaro. kata zilizokuwa zinawaniwa ni 27 nyingine wameshinda chama cha mapinduzi (CCM) 

0 comments:

Post a Comment