Gravity ndiyo movie inayoshika namba moja kwenye mtandao wa box
office maarufu kwa kuandika pesa ambazo movie mpya zinaingiza kwa wakati
husika. Hivi sasa movie ya Gravity ndiyo inaingiza pesa nyingi sana
kuliko nyingine na inaanza kuonyeshwa Tanzania tarehe 18/10. Cheki
ratiba ya movie nyingine hapa na ukaangalia kwenye theater uipendayo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment