ABDULKARIM SUMA





Monday, December 30, 2013

CHELSEA YAIPIGA LIVERPOOL 2-1

Wachezaji wa Chelsea wakishangilia bao lililofungwa na Samuel Eto'o dhidi ya Liverpool leo.

Chelsea imeibuka na ushindi wa bao 2-1 dhidi ya Liverpool katika mechi ya Ligi Kuu ya England iliyopigwa Uwanja wa Stamford Bridge!

0 comments:

Post a Comment