ABDULKARIM SUMA





Monday, December 23, 2013

Je unajuwa move ya Fast & Furious7 inachiwa lini jibu lipo hapa angalia picha za matukio yaliyotokea kwenye hiyo move

Final scene: Vin Diesel posts a picture of the last scene he filmed with Paul Walker in Fast and Furious 7
Baada ya watu kusubiri kwa hamu move ya Fast & Furious7 mkali Vin Diesel ameweka

hatharani siku ya kuachachia move hiyo kulikuja ubishani mkubwa hapo nyuma kidogo ukiusisha ni nani atakayechukua nafasi ya mkali Paul Walker kuna mashabiki walio mpendekeza justin biaber kurithi nafasi hiyo ila mashabiki wengi walikataa na kura nyingi ziliangukia kwa kakayake Paul Walker ambaye anayejulikana kama cody walker
 Vin Diesel alitoa habari mzuri kwenye facebook tarehe  22/12/2014 yakwamba  April 10, 2015 wataweza kuiachia move hiyo kwa mara ya kwanza 

Release date set: Vin, seen here with Paul on a previous Fast and Furious, announced that the movie will be released April 10, 2015

Final scenes: Jordana Brewster starred alongside Paul, who died tragically on November 30 in Valencia, California

No clear cause: The investigation into the cause of the crash is ongoing

Star cast: Dwanye Johnson, Vin Diesel and Paul play a scene from Fast and Furious 6

Looking for answers: Investigators from the Los Angeles County Sheriff's Department will meet with engineers from Porsche next month to analyze the data retrieval system, CNN said

0 comments:

Post a Comment