Time yoyote kutoka sasa unaweza kusikia sound ya kolabo zilizofanyika Johannesburg South Africa siku kadhaa zilizopita baada ya
mastaa hawa wa bongo kukutana na vichwa vingine vya muziki kwenye studio ya msanii mkongwe Afrika Kusini aitwae Oskido ambae aliwaalika kwenye studio ya nyumbani kwake.
Aliamua kumshirikisha Ommy Dimpoz kwenye single mbili zilizoanza kufanya siku ya kwanza tu alipokutana nae na kisha baadae kina Ay na FA wakaianza kolabo nyingine ambayo unaambiwa inahusisha vichwa kadhaa kutoka Kalawa Jazmee Studios.
Ay akiwa na Jose Hendrix mshindi wa shindano la vipaji vya muziki nchini Congo DRC pamoja na mwimbaji na mwandishi Lando ( @Landomusiq )
0 comments:
Post a Comment