ABDULKARIM SUMA





Thursday, February 20, 2014

BIG DADDY V AFARIKI DUNIA


Big Daddy V enzi za uhai wake.

Big Daddy V akiwa kazini enzi za uhai wake.
Mwanamieleka wa WWE, Nelson Frazier maarufu kama Mabel, Viscera na Big Daddy V amefariki dunia kwa ugonjwa wa moyo jana Jumanne. Big Daddy V amefariki akiwa na umri wa miaka 43.

0 comments:

Post a Comment