ABDULKARIM SUMA





Wednesday, February 19, 2014

LORI LA MAFUTA LADONDOKA MILIMA SEKENKE, LALIPUKA NA KUUA WATU WANNE‏


 Wananchi wakiangalia lori baada ya kuungua.

 Mabaki ya lori hilo bada ya kuteketea kabisa na moto jioni hii.
 Baadhi ya wasafiri wakitazama lori lililoungua jioni hii.
 Bonde la mlima Sekenke linavyoonekana na baadhi ya miti imeungua.
 Hii ni njia yamlima Sekenke.
 Haya ni mabaki ya mwili wa mmoja ya watu walikuwa kwenye lori hilo.
Moto ukimalizikia kwa mbali kama inavyoonekana.
LORI la mafuta limeanguka jioni hii katika eneo la milima ya sekenke mkoani singida na kuua watu wanne hapohapo.
Chanzo cha ajali hiyo ni breki kufeli kukamata wakati lori hilo lilipokuwa linashuka mlima huo.Shuhda wa ajali hiyo bwana Julius chacha alipoongea na mtandao wetu wa Dj sek blog amesema kwamba Lori hilo lilipoacha njia lilipinduka na kuingia bondeni na kushika moto.
Akiendelea kuongea shuhda huyo alisema walishindwa kutoa msaada wowote kwa kwa moto uliposhika ulikuwa mkubwa na hawakuwa na vifaa vya kuokolea.Watu wanne wamekuufa papo hapo kutokana na ajali hiyo.Polisi walikuwa bado hawajafika eneoo la tukio mpaka tunaondoka eneo la tukio.

0 comments:

Post a Comment