
uongozaji[Director]wa video mbali mbali za Bongo Fleva.
Miongoni mwa video alizozifanya ambazo imetoka taarifa kuwa zimepata ruhusa kuonyeshwa kwenye kituo cha Chanel O ni pamoja na Video ya Mirror ’My Baby’,Young Dee,Kijukuu’,G nako ‘Mama Yeyoo’ na video mpya ya Nikki wa pili ‘Nje ya Box’.
Nisher ambaye kabla hajaanza kuwa Director wa Video amewahi kuimba ingawa hakupata nafasi kubwa ya Watanzania kumuelewa kama walivyompokea kwenye Uongozaji wa Video Kiasili Nisher ni mwenyeji wa 87.9 Arusha.


Nisher ambaye anasema imemgharimu Miaka 12 Kujua Mambo Ya Video Directing/Films/
0 comments:
Post a Comment