Thursday, March 20, 2014
Thursday, March 13, 2014
Huyu askari mwenye bidii hatimaye amejishindia Million Mbili!
Kwa wale wapitao Mwai Kibaki Road zamani Old Bagamoyo Road watakuwa wanamjua Askari huyu ambaye amekuwa akijituma vilivyo pale darajani Mlalakuwa, Kawe... .. Jamaa alikuwa akimbii mvua, yuko mapema asubuhi, yuko usiku na achoki...labda tu kama ana weakness zake mchana kama vile kwenda kuganga njaa sehemu nyingine kama ilivyo desturi ya askari wengine wa usalama barabarani..
Wednesday, March 12, 2014
Tuesday, March 11, 2014
Monday, March 10, 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)